Chemistry Notes

Karibu kwenye Somo la Chemistry

Chemistry ni sayansi inayochunguza vitu (matter), mali zake, muundo na mabadiliko yanayotokea. Hapa chini ni baadhi ya mada muhimu za kusoma.

1. Matter

Matter ni kitu chochote chenye uzito (mass) na kinachochukua nafasi (volume).

2. Elements and Compounds

Elements ni vitu safi vyenye atomi za aina moja. Compounds ni mchanganyiko wa elementi mbili au zaidi.

3. Chemical Reactions

Mmenyuko wa kemikali hutokea pale ambapo vitu vinabadilika na kutoa vitu vipya.

4. The Periodic Table

Jedwali la Perodiki linaonyesha elementi zote na jinsi zinavyohusiana kwa mali zao.